Isaiah 1:28-29

28 aLakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa,
nao wanaomwacha Bwana wataangamia.

29 b“Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni
ambayo mlifurahia,
mtafadhaika kwa sababu ya bustani
mlizozichagua.
Copyright information for SwhNEN